Home » » NAMNA YA KUDAI MALIPO YA BIMA

NAMNA YA KUDAI MALIPO YA BIMA


NAMNA YA KUDAI MALIPO YA BIMA

Mdai wa Bima lazima awe miongoni wa wanufaikaji wa Bima hiyo. Ni lazima awe analipa malipo maalumu (premium) kama Bima ilivyo elekezwa. Vilevile ni lazima awe amepata hasara kama ilivyo ainishwa katika sera za Bima hiyo ambayo alikubaliana nazo.

Mdai wa bima ataandika maombi na kuyapeleka katika kampuni ya Bima. Kampuni itayapokea maombi yale na kufanya tathmini, hii inajumuisha uchunguzi juu ya tukio lililo sababisha hasara ambapo hata mahojiano kwa wahusika kufanyika ili kujua na kujilidhisha kuwa ni kweli ilikua ajali ambayo haikuweza kukingika.

Baada ya hapo maombi yatapitishwa na mdai wa Bima kufidiwa malipo ya Tax yanaweza kujumuishwa au mdai kulipia mwenyewe.

Kwa vile Mkataba wa Bima basi haupo kwa ajili ya kumtajirisha mdai wa Bima basi fidia ni lazima iwe, kiasi cha fedha kinacho lingana na thamani ya hasara/mali iliyo haribiwa mali inaweza rekebishwa (repair) au anaweza pewa mali nyingine kwa maana ya kwamba kurudishwa katika hali ya awali (Reistatement)

Imeandaliwa na Cuthbert Bandiho.


Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BC LEGAL INFORMER - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger